Afrikanaizesheni
Afrikanaizesheni (kutoka Kiingereza: "Africanization") ni sera ya kuwapa Waafrika kazi za madaraka kwa kuwaondoa wageni wakati nchi za Afrika zilipokuwa zikipata uhuru.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |