Eurosia wa Jaca
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/68/Saint_eurosia.jpg/220px-Saint_eurosia.jpg)
Eurosia wa Jaca (pia: Orosia; alifariki Hispania, 880) alikuwa bikira Mkristo aliyeuawa na Waislamu waliotawala nchi hiyo [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Juni[2].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saints of June 25: Eurosia (Orosia) Archived 2017-04-19 at the Wayback Machine
- Saint Eurosia
- (Kiitalia) Sant' Eurosia di Jaca
- (Kihispania) Elena Gusano Galindo, "Santa Orosia, Patrona de los Endemoniados"
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |