Gerlako
Gerlako (pia: Gerlach, Gerlache, Gerlac, Gerlachus; Houtem, leo nchini Uholanzi, 1100 hivi - Houtem, 1170 hivi) alikuwa mkaapweke karibu na Valkenburg, mkoa wa Limburg, aliyejulikana kwa jinsi alivyohudumia watu fukara[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Januari[2].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
Marejeo
- Saints of January 5: Gerlac Ilihifadhiwa 30 Desemba 2019 kwenye Wayback Machine.
- Houthem-St. Gerlach (L): St. Gerlachus
- Bosworth-Toller Anglo-Saxon Dictionary: lác
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |