Goole

Goole ni mji wa bandari na parokia ya kiraia uliopo kwenye Mto Ouse, katika eneo la East Riding, Yorkshire, England. Kaunti ya kihistoria ya mji huu ni West Riding, Yorkshire[1].

Tanbihii

  1. "Goole". Associated British Ports. Iliwekwa mnamo 2 Januari 2018.{cite web}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.