Gundi

Gundi ikitoka katika chupa.

Gundi (kwa Kiingereza: Adhesive, glue, cement, mucilage au paste[1]) ni majimaji mazito yanayoweza kutokana na miti n.k. ambayo hutumika katika kugandisha au kuunganishia vitu mbalimbali, kwa mfano karatasi.

Tanbihi

  1. Pike, Roscoe. "adhesive". Encyclopædia Britannica Online. Encyclopædia Britannica Inc. Iliwekwa mnamo 9 Aprili 2013.{cite web}: CS1 maint: date auto-translated (link)