Gundi (kwa Kiingereza: Adhesive, glue, cement, mucilage au paste[1]) ni majimaji mazito yanayoweza kutokana na miti n.k. ambayo hutumika katika kugandisha au kuunganishia vitu mbalimbali, kwa mfano karatasi.
Tanbihi
↑Pike, Roscoe. adhesive. Encyclopædia Britannica Online. Encyclopædia Britannica Inc.. Iliwekwa mnamo 9 April 2013.