Houcine Dimassi
Houcine al-Dimassi (18 Novemba 1948 – 27 Januari 2025) alikuwa mwanasiasa wa Tunisia. Alihudumu kama Waziri wa Fedha chini ya Waziri Mkuu Hamadi Jebali. [1][2][3][4]
Marejeo
- ↑ CIA World Leaders Archived 2011-06-29 at the Wayback Machine
- ↑ Biographie de M. Houcine Dimassi, nouveau ministre des Finances, Business News, 25 December 2011
- ↑ Décès de l'ancien ministre des Finances Houcine Dimassi Kosa la hati: Hakuna moduli kama "In lang".
- ↑ Tunisian Finance minister quits, AFP, 27 July 2012
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |