Labuan

Ramani ya kisiwa cha Labuan pamoja na visiwa vilivyo karibu.

Labuan ni kisiwa kikuu cha funguvisiwa lenye jina hilohilo ambalo tangu mwaka 1984 limekuwa eneo la shirikisho katika nchi ya Malaysia.

Inapatikana kaskazini kwa kisiwa cha Borneo ambacho ni cha tatu duniani kwa ukubwa.

Wakazi ni 86,908 (2010); kati yao 76% ni Waislamu, 12.4% ni Wakristo, 9% Wabuddha n.k.

Tanbihi

Marejeo

  • Labuan Story: Memoirs of a Small Island near the Coast of North Borneo (1958) Maxwell Hall Jesselton, North Borneo: Chung Nam.
  • The history of Labuan Island (Victoria Island) (1996) Stephen R. Evans, Abdul Rahman Zainal and Rod Wong Khet Ngee. Singapore: Calendar Print
  • Chai Foh Chin (2007) Early Picture Postcards of North Borneo and Labuan
  • Stephen R. Evans, Abdul Rahman Zainal and Rod Wong Khet Ngee (Reprint 2007) The History of Labuan (Victoria Island)

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Labuan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.