Mkoa wa Kedougou
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d4/Kedougou_in_Senegal.svg/220px-Kedougou_in_Senegal.svg.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/93/Map_of_the_departments_of_the_K%C3%A9dougou_region_of_Senegal.png/220px-Map_of_the_departments_of_the_K%C3%A9dougou_region_of_Senegal.png)
Mkoa wa Kédougou ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Kédougou . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 16,800. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 152,357.[1]
Marejeo
- ↑ Senegal: Administrative division, tovuti ya citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022