Mnandi

Mnandi
Minandi kidari-cheupe
Minandi kidari-cheupe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Suliformes (Ndege kama ndegejinga)
Familia: Phalacrocoracidae (Ndege walio na mnasaba na minandi)
Reichenbach, 1850
Ngazi za chini

Jenasi 3; spishi 10 katika Afrika:

  • Leucocarbo Bonaparte, 1855
    • L. melanogenis (Blyth, 1860)
    • L. verrucosus (Cabanis, 1875)
  • Microcarbo Bonaparte, 1856
    • M. africanus (Gmelin, 1789)
    • M. coronatus (Wahlberg, 1855)
    • M. pygmeus (Pallas, 1773)
  • Phalacrocorax Brisson, 1760
    • P. aristotelis (Linnaeus, 1761)
    • P. capensis (Sparrman, 1789)
    • P. lucidus (Lichtenstein, 1823)
    • P. neglectus (Wahlberg, 1855)
    • P. nigrogularis Ogilvie-Grant & H.O.Forbes, 1899

Minandi ni ndege wa maji wa familia Phalacrocoracidae ambao wanafanana na vibisi lakini wana mkia mrefu zaidi na domo lao ana ncha kwa kulabu. Rangi yao kuu ni nyeusi. Minandi huzamia majini ili kukamata samaki. Hujenga matago yao kwa matawi na mimea ya maji juu ya miti au miamba. Jike huyataga mayai 3-4.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha