Mto Kimbi
Mto Kimbi ni kati ya mito ya mkoa wa Mbeya (Tanzania Kusini Magharibi), tawimto la Ruaha Mkuu, unaotiririka hadi kuingia mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.
Mto Kimbi ni kati ya mito ya mkoa wa Mbeya (Tanzania Kusini Magharibi), tawimto la Ruaha Mkuu, unaotiririka hadi kuingia mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.