Papa Klementi V
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/93/Papa_Clemens_Quintus.jpg/220px-Papa_Clemens_Quintus.jpg)
Papa Klementi V (1264 – 20 Aprili 1314) alikuwa Papa kuanzia tarehe 5 Juni/14 Novemba 1305 hadi kifo chake[1]. Alitokea Villandraut, Ufaransa[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bertrand de Got.
Alimfuata Papa Benedikto XI akafuatwa na Papa Yohane XXII.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |