Peter Joseph Serukamba
Peter Joseph Serukamba (amezaliwa tar. 6 Juni 1972) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa mwaka 2015 – 2020. [1][2].
Tazama pia
Marejeo
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017
- ↑ Mengi kuhusu Peter Joseph Serukamba (13 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |