Waoratori

Filipo Neri.

Waoratori (kifupi: C.O.) ni mapadri na mabruda wa Kanisa Katoliki wanaoishi pamoja kijumuia kwa kufungwa na upendo, bila ya nadhiri.

Shirika hilo lilianzishwa na Filipo Neri (15151595) mjini Roma. Leo lina nyumba zaidi ya 70 ulimwenguni kote, zikiwa na mapadri 500 hivi.[1]

Watakatifu wa shirika

Wenye heri wa shirika

Tanbihi

  1. "History". The London Oratory. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-07-08. Iliwekwa mnamo 2007-12-24.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waoratori kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.