Ziwa Babati
4°15′S 35°44′E / 4.250°S 35.733°E
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a2/Morning_sun%2C_Lake_Babati.jpg/250px-Morning_sun%2C_Lake_Babati.jpg)
Ziwa Babati ni ziwa dogo nchini Tanzania. Liko upande wa kaskazini, katika mkoa wa Manyara. Ni maarufu kwa viboko wake.
4°15′S 35°44′E / 4.250°S 35.733°E
Ziwa Babati ni ziwa dogo nchini Tanzania. Liko upande wa kaskazini, katika mkoa wa Manyara. Ni maarufu kwa viboko wake.