Klara wa Montefalco
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/b/b7/Saint_Clare_of_Montefalco.jpg)
Klara wa Montefalco (Montefalco, Perugia, Umbria, 1268 - Montefalco, 17 Agosti 1308) alikuwa mmonaki wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko, halafu abesi wa shirika la Waaugustino[1].
Bikira huyo alimpenda motomoto Kristo katika mateso yake[2]
Papa Leo XIII alimtangaza mtakatifu tarehe 8 Desemba 1881.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Agosti[3].
Tazama pia
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
- ↑
Donovan, Stephen M. (1908). . Catholic Encyclopedia. Juz. la 4. New York: Robert Appleton Company.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/66350
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
- Clare of Montefalco at Order of Saint Augustine
- Life of Clare of Montefalco (Augustinians of the Midwest) Ilihifadhiwa 4 Februari 2012 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |