Mkoa wa Kivu Kaskazini

Mkoa wa Kivu Kaskazini
Nord-Kivu
Mahali paMkoa wa Kivu Kaskazini Nord-Kivu
Mahali paMkoa wa Kivu Kaskazini
Nord-Kivu
Mahali pa Mkoa wa Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Majiranukta: 01°41′S 29°14′E / 1.683°S 29.233°E / -1.683; 29.233
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wilaya 5
Mji mkuu Goma
Serikali
 - Gouverneur Julien Paluku Kahongya
Eneo
 - Jumla 59,483 km²
Idadi ya wakazi (2020)
 - Wakazi kwa ujumla 8,147,400
Tovuti:  http://www.provincenordkivu.org/

Mkoa wa Kivu ya Kaskazini ni mmojawapo kati ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 8,147,400.

Mji mkuu ni Goma.

Jiografia

Virunga National Park

Kivu Kaskazini, Iliyoko kando ya ikweta, inajumuisha latitudo kutoka 0° 58' kaskazini hadi 2° 03' kusini na longitudo kutoka 27° 14' magharibi hadi 29° 58' mashariki.[1]

Picha za Kivu Kaskazini

Marejeo

  1. "Mkoa wa Kivu Kaskazini" (kwa Kifaransa). Cellule d'Analyses des Indicateurs de Développement (CAID). Iliwekwa mnamo 8 Novemba 2024.{cite web}: CS1 maint: date auto-translated (link)
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Bandera Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Équateur | Ituri | Kasai | Kasai Kati | Kasai Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Uele Chini | Uele Juu
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kivu Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.