Wizara ya Kazi na Ajira
Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana (Kiingereza: Ministry of Labour, Employment and Youth Development) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo
Tazama pia
- Serikali ya Tanzania
- Wizara za Serikali ya Tanzania
![]() | Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |