Wizara ya Maliasili na Utalii
Wizara ya Maliasili na Utalii (kwa Kiingereza: Ministry of Natural Resources and Tourism; kifupi MNRT) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dodoma.
Marejeo
Tazama pia
- Mbuga za Taifa la Tanzania
- Serikali ya Tanzania
- Wizara za Serikali ya Tanzania
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |