Wilaya ya Zouan-Hounien
Wilaya ya Zouan-Hounien | |
Eneo la Wilaya ya Zouan-Hounien. | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Montagnes |
Mkoa | Tonkpi |
Serikali[1] | |
- Prefect | Lancina Fofana |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 195,082 |
GMT | (UTC+0) |
Wilaya ya Zouan-Hounien (kwa Kifaransa: département de Zouan-Hounien) ni moja kati ya Wilaya tano za Mkoa wa Tonkpi ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 195,082.
Makao makuu ya eneo hilo ni Zouan-Hounien.
Wilaya ya Zouan-Hounien sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:
Marejeo
- ↑ "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.