Kaunti ya Garissa

Kaunti ya Garissa
Kaunti
Msikiti wa Jamia, Garissa
Kaulimbiu: ""

Kaunti ya Garissa katika Kenya
Coordinates: 0°27′25″S 39°39′30″E / 0.45694°S 39.65833°E / -0.45694; 39.65833
Nchi Kenya
Nambari7
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Kaskazini Mashariki
Mji mkuuGarissa
Miji mingineDadaab, Hagadera, Ijara
Serikali
GavanaAli Bunow Korane
Naibu wa GavanaAbdi Muhumed Agane
SenetaMohamed Yusuf Haji
Mwakilishi wa wanawakeAnab Mohamed Gure
BungeBunge la Kaunti ya Garissa
Wawakilishi Wadi30
Maeneo bunge6
Eneo
Jumlakm2 44 736 (sq mi 17 273)
Idadi ya Watu
Jumla841,353[1].
Msongamano19 /km²
Majira ya SaaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovuti
garissa.go.ke

Kaunti ya Garissa ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 841,353 katika eneo la km2 44,736, msongamano ukiwa hivyo wa watu 19 kwa kilometa mraba[2]..

Kaunti ya Garissa ni makazi ya wakimbizi zaidi ya 260,000. Kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyo katika kaunti hii ndio kubwa zaidi Kenya.

Makao makuu yako Garissa.

Utawala

Kaunti ya Garissa ina maeneo yafuatayo ya utawala[3]:

Eneo bunge Kata
Garissa Mjini Waberi, Galbet, Garissa Mjini, Iftin
Balambala Balambala, Danyere, Jarajara, Saka, Sankuri
Lagdera Modogashe, Bename, Goreale, Maalamin, Sabena, Baraki
Dadaab Dertu, Dadaab, Labasigale, Damajale, Liboi, Abakaile
Fafi Bura, Dekaharia, Jarajila, Fafi, Nanighi
Ijara Hulugho, Sangailu, Ijara, Masalani

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [4]

  • Balambala 32,257
  • Dadaab 185,252
  • Fafi 134,040
  • Garissa 163,914
  • Hulugho 133,984
  • Ijara 141,591
  • Lagdera 50,315

Tazama pia

Marejeo

  1. www.knbs.or.ke
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-29.
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-09-04. Iliwekwa mnamo 2021-09-04.
  4. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-29.