Migori
Migori | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Migori |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 61,049 |
Migori ni mji wa Kenya magharibi, makao makuu ya kaunti ya Migori.
Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 61,049[1].
Tazama pia
Tanbihi
- ↑ Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
Viungo vya nje
- MigoriTown.com Archived 8 Oktoba 2011 at the Wayback Machine.